2 Nya. 21:3 Swahili Union Version (SUV)

Baba yao akawapa zawadi kubwa, za fedha, na za dhahabu, na za tunu, pamoja na miji yenye maboma katika Yuda; lakini ufalme akampa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza.

2 Nya. 21

2 Nya. 21:1-9