2 Nya. 13:8 Swahili Union Version (SUV)

Hata sasa mwajidhania kuwa mtauzuia ufalme wa BWANA mikononi mwa wana wa Daudi; nanyi mmekuwa jamii kubwa, na kwenu mna ndama za dhahabu alizowafanyia Yeroboamu kuwa miungu.

2 Nya. 13

2 Nya. 13:1-9