2 Nya. 13:7 Swahili Union Version (SUV)

Wakamkusanyikia watu mabaradhuli, wasiofaa kitu, waliojitia nguvu juu ya Rehoboamu mwana wa Sulemani, Rehoboamu alipokuwa kijana na wa moyo mwororo, asiweze kuwazuia.

2 Nya. 13

2 Nya. 13:1-11