2 Kor. 6:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.

2. (Kwa maana asema,Wakati uliokubalika nalikusikia,Siku ya wokovu nalikusaidia;tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)

3. Tusiwe kwazo la namna yo yote katika jambo lo lote, ili utumishi wetu usilaumiwe;

4. bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida;

2 Kor. 6