2 Kor. 2:4 Swahili Union Version (SUV)

Maana katika dhiki nyingi na taabu ya moyo niliwaandikia na machozi mengi; si kwamba mhuzunishwe, bali mpate kujua upendo wangu nilio nao kwenu jinsi ulivyo mwingi.

2 Kor. 2

2 Kor. 2:1-12