2 Kor. 2:3 Swahili Union Version (SUV)

Nami naliwaandikia neno lilo hilo, ili nijapo nisitiwe huzuni na wale ambao ilinipasa kuwafurahia; nikiwatumaini ninyi nyote kwamba furaha yangu ni yenu nyote pia.

2 Kor. 2

2 Kor. 2:1-9