2 Fal. 8:18 Swahili Union Version (SUV)

Akaiendea njia ya wafalme wa Israeli kama walivyofanya nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa amemwoa binti Ahabu; akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA.

2 Fal. 8

2 Fal. 8:10-23