2 Fal. 8:16 Swahili Union Version (SUV)

Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, [Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda], alianza kutawala Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda.

2 Fal. 8

2 Fal. 8:7-20