2 Fal. 8:15 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa siku ya pili yake, akatwaa tandiko la kitanda, akalichovya katika maji, akalitandaza juu ya uso wake, hata akafa. Na Hazaeli akatawala badala yake.

2 Fal. 8

2 Fal. 8:13-21