2 Fal. 22:8 Swahili Union Version (SUV)

Naye Hilkia, kuhani mkuu, akamwambia Shafani, mwandishi, Nimekiona kitabu cha torati katika nyumba ya BWANA. Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akakisoma.

2 Fal. 22

2 Fal. 22:3-14