2 Fal. 20:15 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo akasema, Wameona nini nyumbani mwako? Hezekia akajibu, Vitu vyote vilivyomo nyumbani mwangu wameviona; hapana kitu nisichowaonyesha katika hazina zangu.

2 Fal. 20

2 Fal. 20:8-16