2 Fal. 2:15 Swahili Union Version (SUV)

Na hao wana wa manabii, waliokuwako Yeriko wakimkabili, walipomwona, walisema, Roho ya Eliya inakaa juu ya Elisha. Wakaja kuonana naye, wakainama kifudifudi mbele yake.

2 Fal. 2

2 Fal. 2:13-25