2 Fal. 2:14 Swahili Union Version (SUV)

Akalitwaa lile vazi la Eliya lililomwangukia, akayapiga maji, akasema, Yuko wapi BWANA, Mungu wa Eliya? Naye alipoyapiga maji, yakagawanyika huku na huku, Elisha akavuka.

2 Fal. 2

2 Fal. 2:5-20