2 Fal. 18:10 Swahili Union Version (SUV)

Wakautwaa baada ya miaka mitatu; yaani, katika mwaka wa sita wa Hezekia, ndio mwaka wa kenda wa Hoshea, mfalme wa Israeli, ndipo Samaria ulipotwaliwa.

2 Fal. 18

2 Fal. 18:1-18