2 Fal. 13:1 Swahili Union Version (SUV)

Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; akatawala miaka kumi na saba.

2 Fal. 13

2 Fal. 13:1-2