1 Tim. 3:3-6 Swahili Union Version (SUV)

3. si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha;

4. mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;

5. (yaani, mtu asiyejua kuisimamia nyumba yake mwenyewe, atalitunzaje Kanisa la Mungu?)

6. Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.

1 Tim. 3