1 Sam. 6:8 Swahili Union Version (SUV)

kisha, litwaeni hilo sanduku la BWANA, na kuliweka juu ya gari; na hivyo vitu vya dhahabu, mtakavyompelekea kuwa matoleo ya kosa, mvitie katika kasha kando yake; mkalipeleke sanduku, lipate kwenda.

1 Sam. 6

1 Sam. 6:1-10