1 Sam. 6:7 Swahili Union Version (SUV)

Basi sasa jifanyizieni gari jipya, mtwae na ng’ombe wake wawili wakamwao, ambao hawajafungwa nira, nanyi mkawafunge hao ng’ombe garini, na kuwaondoa ndama zao na kuwatia zizini;

1 Sam. 6

1 Sam. 6:1-17