1 Sam. 3:9 Swahili Union Version (SUV)

Kwa hivyo Eli akamwambia Samweli, Enenda, kalale; itakuwa, akikuita, utasema, Nena, BWANA; kwa kuwa mtumishi wako anasikia. Basi Samweli akaenda akalala mahali pake.

1 Sam. 3

1 Sam. 3:2-16