1 Sam. 3:8 Swahili Union Version (SUV)

BWANA akamwita Samweli mara ya tatu. Naye akaondoka akamwendea Eli, akasema, Mimi hapa; kwa maana uliniita. Ndipo Eli akatambua ya kuwa BWANA ndiye aliyemwita yule mtoto.

1 Sam. 3

1 Sam. 3:1-15