1 Sam. 29:9 Swahili Union Version (SUV)

Akishi akajibu, akamwambia Daudi, Mimi najua ya kuwa u mwema machoni pangu, kama malaika wa Mungu; ila hao wakuu wa Wafilisti wamesema, Huyu hatakwea pamoja nasi kwenda vitani.

1 Sam. 29

1 Sam. 29:6-11