1 Sam. 29:10 Swahili Union Version (SUV)

Kwa hiyo sasa amka asubuhi na mapema, wewe na watumwa wa bwana wako waliokuja pamoja nawe; nanyi mtakapoamka asubuhi na mapema, na kupata mwanga, nendeni zenu.

1 Sam. 29

1 Sam. 29:4-11