1 Sam. 26:8 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Abishai akamwambia Daudi, Mungu amemtia adui yako mikononi mwako leo; basi, niache nimpige kwa hilo fumo hata nchi kwa pigo moja, sitampiga mara ya pili.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:5-18