1 Sam. 26:7 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi na Abishai wakawaendea watu usiku; na tazama, Sauli alikuwapo kati ya magari amelala usingizi, na fumo lake limechomekwa chini, karibu na kichwa chake; naye Abneri na watu wake wamelala wakimzunguka.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:5-12