1 Sam. 26:3 Swahili Union Version (SUV)

Naye Sauli akapiga hema katika kilima cha Hakila, kilichoelekea Yeshimoni, barabarani; lakini Daudi alikuwa akikaa nyikani, akaona ya kwamba Sauli amemfuata mpaka nyikani.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:1-11