1 Sam. 26:2 Swahili Union Version (SUV)

Basi Sauli akaondoka, akashuka nyikani kwa Zifu, naye alikuwa na watu elfu tatu, wateule wa Israeli, pamoja naye, ili kumtafuta Daudi katika nyika ya Zifu.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:1-9