1 Sam. 19:18 Swahili Union Version (SUV)

Hivyo Daudi akakimbia, akajiponya, akamwendea Samweli huko Rama, akamwambia hayo yote Sauli aliyomtenda. Kisha yeye na Samweli wakaenda na kukaa katika Nayothi.

1 Sam. 19

1 Sam. 19:14-20