1 Sam. 19:17 Swahili Union Version (SUV)

Sauli akamwambia Mikali, Mbona wewe umenidanganya hivi, na kumwacha adui yangu aende, hata ameniponyoka? Naye Mikali akamjibu Sauli, Yeye aliniambia, Niache niende zangu; kwa nini nikuue?

1 Sam. 19

1 Sam. 19:8-21