1 Sam. 18:8 Swahili Union Version (SUV)

Basi Sauli akaghadhibika sana, na maneno haya yakamchukiza; akasema, Wamempa Daudi makumi elfu, na mimi wamenipa elfu tu; kuna nini tena awezayo kupata, isipokuwa ni ufalme?

1 Sam. 18

1 Sam. 18:2-14