1 Sam. 17:8 Swahili Union Version (SUV)

Naye akasimama, akawapigia kelele majeshi ya Israeli akawaambia, Mbona mmetoka kupanga vita? Je! Mimi si Mfilisti, na ninyi si watumishi wa Sauli? Jichagulieni mtu, akanishukie mimi.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:1-10