1 Sam. 17:7 Swahili Union Version (SUV)

Na mti wa fumo lake ulikuwa kama mti wa mfumaji; na kichwa cha mkuki wake kilikuwa shekeli mia sita za chuma uzito wake; na mtu aliyemchukulia ngao yake akamtangulia.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:1-12