1 Sam. 16:5 Swahili Union Version (SUV)

Naye akasema, Naam, kwa amani; nimekuja kumtolea BWANA dhabihu; jitakaseni; njoni pamoja nami kwenye dhabihu. Akawatakasa Yese na wanawe, akawaita kwenye dhabihu.

1 Sam. 16

1 Sam. 16:1-12