1 Sam. 16:4 Swahili Union Version (SUV)

Samweli akafanya hayo aliyosema BWANA, akaenda Bethlehemu. Wakaja wazee wa mji kumlaki, wakitetemeka, nao wakasema, Je! Umekuja kwa amani?

1 Sam. 16

1 Sam. 16:1-14