1 Sam. 16:13 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye mafuta, akamtia mafuta kati ya ndugu zake; na roho ya BWANA ikamjilia Daudi kwa nguvu tangu siku ile. Basi Samweli akaondoka, akaenda zake Rama.

1 Sam. 16

1 Sam. 16:7-14