1 Sam. 16:12 Swahili Union Version (SUV)

Basi akatuma mtu, naye akamleta kwao. Naye alikuwa mwekundu, mwenye macho mazuri, na umbo lake lilikuwa la kupendeza. BWANA akasema, Ondoka, umtie mafuta; maana huyu ndiye.

1 Sam. 16

1 Sam. 16:6-13