1 Sam. 15:12 Swahili Union Version (SUV)

Samweli akaondoka asubuhi na mapema ili aonane na Sauli; Samweli akaambiwa ya kwamba, Sauli alifika Karmeli, na tazama, akajisimamishia ukumbusho, akageuka, akapita, akatelemkia Gilgali.

1 Sam. 15

1 Sam. 15:10-19