1 Sam. 14:50 Swahili Union Version (SUV)

na jina lake mkewe Sauli aliitwa Ahinoamu, binti Ahimaasi. Tena, jina la jemadari wa jeshi lake aliitwa Abneri, mwana wa Neri, aliyekuwa baba mdogo wa Sauli.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:41-52