1 Sam. 14:20 Swahili Union Version (SUV)

Naye Sauli na watu wote waliokuwapo pamoja naye wakakusanyika, wakaenda vitani; na tazama, huko upanga wa kila mtu ulikuwa juu ya mwenziwe, kukawa fujo tele kabisa.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:13-27