1 Sam. 14:19 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa Sauli alipokuwa katika kusema na kuhani, hayo makelele katika marago ya Wafilisti yakaendelea na kuzidi; basi Sauli akamwambia kuhani, Rudisha mkono wako.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:18-20