1 Sam. 14:11 Swahili Union Version (SUV)

Basi, hao wote wawili wakajidhihirisha mbele ya ngome ya Wafilisti, na wale Wafilisti wakasema, Kumbe! Wale Waebrania watoka katika mashimo walimojificha!

1 Sam. 14

1 Sam. 14:8-12