1 Sam. 14:10 Swahili Union Version (SUV)

Lakini wakisema hivi, Haya! Ninyi, tupandieni sisi; hapo ndipo tutakapopanda; kwa maana BWANA amewatia mikononi mwetu; na hii itakuwa ndiyo ishara kwetu.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:7-14