1 Sam. 12:8 Swahili Union Version (SUV)

Yakobo alipokuwa ameingia Misri, na baba zenu walipomlilia BWANA, ndipo BWANA akawapeleka Musa na Haruni, nao wakawatoa baba zenu kutoka Misri, wakawakalisha mahali hapa.

1 Sam. 12

1 Sam. 12:1-9