1 Sam. 12:22 Swahili Union Version (SUV)

visivyoweza kusaidia wala kuokoa, kwa kuwa havifai kitu. Maana BWANA hatawaacha watu wake kwa ajili ya jina lake kuu; kwa kuwa imempendeza BWANA kuwafanya ninyi kuwa watu wake mwenyewe.

1 Sam. 12

1 Sam. 12:20-24