1 Nya. 24:8-18 Swahili Union Version (SUV)

8. ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;

9. ya tano Malkia, ya sita Miyamini;

10. ya saba Hakosi, ya nane Abia;

11. ya kenda Yeshua, ya kumi Shekania;

12. ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu;

13. ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu;

14. ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri;

15. ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi;

16. ya kumi na kenda Pethahia, ya ishirini Ezekieli;

17. ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli;

18. ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.

1 Nya. 24