8. ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;
9. ya tano Malkia, ya sita Miyamini;
10. ya saba Hakosi, ya nane Abia;
11. ya kenda Yeshua, ya kumi Shekania;
12. ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu;
13. ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu;
14. ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri;
15. ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi;
16. ya kumi na kenda Pethahia, ya ishirini Ezekieli;
17. ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli;
18. ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.