1 Nya. 21:8 Swahili Union Version (SUV)

Naye Daudi akamwambia Mungu, Nimekosa sana, kwa kuwa nimelifanya jambo hili; lakini sasa uuondolee mbali, nakusihi, uovu wa mtumwa wako; kwani nimefanya upumbavu kabisa.

1 Nya. 21

1 Nya. 21:5-11