1 Nya. 20:4 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa baada ya hayo, kulitokea vita na Wafilisti huko Gobu; ndipo Sibekai, Mhushathi, alipomwua Safu, mmojawapo wa Warefai; nao wakashindwa.

1 Nya. 20

1 Nya. 20:1-6