1 Nya. 19:3 Swahili Union Version (SUV)

Lakini wakuu wa wana wa Amoni wakamwambia Hanuni, Je! Waona Daudi amheshimu babayo kwa kukupelekea wafariji? Je! Hawakukujia watumishi wake ili kuiangalia nchi, na kuiangamiza, na kuipeleleza?

1 Nya. 19

1 Nya. 19:1-8