1 Nya. 17:1 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, Daudi alipokuwa akikaa nyumbani mwake, Daudi akamwambia nabii Nathani, Angalia, mimi ninakaa katika nyumba ya mwerezi, bali sanduku la agano la BWANA linakaa chini ya mapazia.

1 Nya. 17

1 Nya. 17:1-5