1 Nya. 16:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake;Wajulisheni watu matendo yake.

9. Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi;Zitafakarini ajabu zake zote.

10. Jisifuni kwa jina lake takatifu;Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.

11. Mtakeni BWANA na nguvu zake;Utafuteni uso wake siku zote.

1 Nya. 16