1 Nya. 1:46 Swahili Union Version (SUV)

Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.

1 Nya. 1

1 Nya. 1:45-54